Home Soka Kocha Simba sc Abariki Kiungo Kutua Yanga

Kocha Simba sc Abariki Kiungo Kutua Yanga

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani wa klabu ya Simba sc  Masoud Djuma amewapa tano klabu ya Yanga baada ya kusikia wanaisaka saini ya kiungo wa Rwanda Ally Niyonzima.

Kocha huyo ambaye amewahi kumnoa kiungo huyo wakati akiifundisha klabu ya As Kigali mwaka 2018 alisema kama Yanga watakamilisha dili hilo watakua wamelamba dume kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi tatu uwanjani.

Kwa mujibu wa kocha huyo mwenye mizuka awapo uwanjani Niyonzima ana uwezo wa kucheza kama beki wa kati pamoja na kiungo mkabaji au mshambuliaji.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited