Home Soka Samata Ashtua Wazungu

Samata Ashtua Wazungu

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji wa Aston Villa wakiongozwa na Jack Grealish, Tyrone Mings na Ezri Konsa wameshtushwa na kasi inayooneshwa na Mbwana Samatta katika mazoezi ya klabu hio katika uwanja wa Bodymoor.

Akizungumza na chombo cha habari cha jiji hilo la Birmingham[ Birmingham Live ] kocha wa klabu hiyo Dean Smith alisema kwa kasi ya mchezaji huyo imewashangaza wenzake “Amewashangaza wachezaji wetu wengi jinsi alvyo mzuri.,” ameelezea kocha huyo wa Aston Villa.

Samatta alijiunga na Aston Villa akitokea Krc Genk ya nchini Ubeligiji ambapo alijiunga nayo mwaka 2015 akitokea Tp Mazembe ya Drc Kongo mwaka 2015.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited