Home Soka Winga Mghana Atua Yanga

Winga Mghana Atua Yanga

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Bernard Morrison kutoka nchini Ghana mwenye miaka 26 akitokea Orlando Pirates ya nchini Afrika ya kusini.

Morisson anakuwa usajili wa kwanza wa kocha Luc Eymael tangu atue jangwani wiki iliyopita.

Nyota huyo amewahi kuzitumikia DC Motema Pembe DRC (2018), Orlando Pirates (2016-2018), AS Vita DRC (2015-2016), Ashanti Gold FC Ghana (2013-2015) na Hearts of Lions (2010-2013

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited