Home Soka Yanga,Kmc Kupasha Mwili Joto

Yanga,Kmc Kupasha Mwili Joto

by Sports Leo
0 comments

Katika harakati za kujiandaa na Ligi kuu Tanzania bara inatyotarajiwa kuanza Juni 13 timu za Yanga na Kmc zitacheza mchezo wa kirafiki siku ya jumapili juni 7 jijini Dar es salaam.

Mechi hiyo itakayokua ya kwanza ya kirafiki kwa timu za ligi kuu tangu Serikali iruhusu shughuli za michezo kutokana na kupungua kwa maambukizi ya Virusi vy Corona vinanavyosababisha ugonjwa wa homa ya mapafu(Covid-19).

Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ikizingatiwa katika mchezo uliopita wa ligi kuu nchini Yanga ilifungwa na kmc licha ya kuwa ilikua imetoka kuifunga Simba sc kwa bao 1-0.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited