Morocco “Out” Afcon 2024
Timu ya Taifa ya Morocco imetolewa katika michuano ya mataifa ya Afrika baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa timu ya Taifa ya Afrika Kusini katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano hiyo. Kinyume na matarajio ya wengi Morocco iliyosheheni mastaa wakubwa barani ulaya licha ya kumiliki mpira kwa kiwango cha…
