Staa Wa Ulaya Arejea Al Ahly
Klabu ya Al-Ahly imethibitisha kuwa Mlinzi wao wa kushoto mwenye magoli 50 katika klabu hiyo Ali Maaloul aliyeukosa mchezo dhidi ya Simbaa sc jijini Dar es salaam amerejea kwenye kikosi hicho Kuelekea mechi ya marudiano ya AFL dhidi ya Simba huko Misri, Pamoja na staa huyo pia klabu hiyo imethibitisha kuwa Emam Ashour nae atakuwa…
