GSM Day Ni Free
Bosi wa klabu ya Yanga sc Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ amenunua tiketi zote za mzunguko kwenye mechi ya marudiano dhidi ya Medeama itakayopigwa Jumatano ijayo Uwanja wa Mkapa baada ya mechi ya awali kumalizika kwa sare ya bao 1-1 mjini Kumasi, Ghana. Hayo yamethibitishwa na msemaji wa klabu hiyo Ali Kamwe wakati akizungumza na Waandishi…
