Azam Fc Yashusha Straika Mashine
Klabu ya Azam Fc imemsajili mshambuliaji Jhonier Blanco kutoka klabu ya Fortaleza CEIF inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Colombia kwa mkataba wa miaka minne akichukua nafasi ya Prince Dube ambaye ameonyesha nia ya kuvunja mkataba na klabu hiyo. Mshambuliaji huyo amewahi kuwa mshambuliaji bora katika ligi hiyo ya daraja la kwanza nchini Colombia maarufu…
