Screenshot 20250618 104719 Instagram

Yacouba Aishtaki Tabora United

Kungo mshambuliaji raia wa Burkina Faso Yacouba Songne ameifungulia mashtaka kwa shirikisho la soka nchini (TFF) klabu yake ya Tabora United kisa madai ya mishahara anayodai ya miezi 4 pamoja pesa ya usajili iliyosalia kwenye usajili wake. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga sc kwa sasa ameanza mazoezi akitokea katika kipindi kirefu cha kuuguza jeraha…

Soma Zaidi
FB IMG 1744794533305

Aziz Ki Kutimka Yanga Sc

Uongozi wa Klabu ya Yanga Sc umethibitisha kwamba kiungo mshambuliaji wao, Stephine Aziz Ki atajiunga na klabu ya Wydad Casablanca baada ya klabu hiyo kumalizana na Yanga sc kwa dau ambalo halijawekwa wazi.Wydad Athletic Club ambao wanashiriki michuano ya klabu bingwa duniani kwa upande wa vilabu kuanzia mwezi juni tayari wameanza maboresho ya kikosi chao…

Soma Zaidi
416858493 18394045903071034 2007104509561273842 n

Simba Sc Vs APR Hakuna Mbabe

Klabu ya Simba sc imeshindwa kuibuka na alama tatu katika mchezo wa kundi B michuano hiyo baada ya kulazimishwa sare ya 0-0 katika dakika tisini za mchezo huo uliokua mkali na wa kusisimua huku ukijaza mashabiki wengi katika uwanja wa Amani visiwani Zanzibar. Ikianza na kikosi chenye mastaa wengi wa kikosi cha kwanza ambapo golini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks