Snapinsta.app 432702477 713750203969656 5405564879474037889 n 1080

Aucho,Kibwana Kuwawahi Mamelod

Baadhi ya mastaa wa klabu ya Yanga sc waliokua majeruhi wamerejea klabuni hapo kutoka katika majeraha huku tayari baadhi yao wakiwa wameungana na kikosi hicho katika mazoezi kujiandaa na mchezo huo ambao utafanyika siku ya Jumamosi machi 30 saa tatu usiku katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam. Wachezaji hao ambao walikua majeruhi…

Soma Zaidi
1996269328 scaled

Ivory Coast Mabingwa Afcon 2023

Timu ya Taifa ya Ivory Coast wameibuka mabingwa wa kombe la mataifa ya Afrika baada ya kuifunga Nigeria kwa mabao 2-1 katika mchezo wa fainali ambapo takribani nchi zote za Afrika zilikua zinashuhudia michuano hiyo kupitia vyanzo mbalimbali vya habari. Haikutabiriwa na wengi kuwa wenyeji wataibuka mabingwa kutokana na kuanza kwa kusuasua katika hatua ya…

Soma Zaidi
82206167997

Ivory Coast hao Fainali

Licha ya kuanza kwa kusuasua kamamwenyeji katika michuano ya mataifa ya Afrika timu ya Ivory Coast imefanikiwa kufuzu hatua ya Fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga DR Congo kwa bao 1-0 katika mchezo mkali wa nusu fainali. Licha kupiga mashuti 14 langoni mwa Congo DR ni mashuti mawili tu yalilenga lango na moja kuwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks