Screenshot 20240913 124442 Instagram

Yanga sc Yakomaa na Kagoma

Klabu ya Yanga sc imeendelea kukomaa na usajili wa mchezaji Yusuph Kagoma ambaye amejiunga na Simba sc msimu huu ikisisitiza kuwa ni mchezaji wa klabu hiyo baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu klabuni hapo. Kagoma aliyeuzwa na Fountain Gate Fc kwa Simba sc awali alifanya mazungumzo na Yanga sc na kusaini mkataba huo wa…

Soma Zaidi
Kagoma 1

Yanga Sc Yamkana Kagoma

Klabu ya Yanga sc imekanusha taarifa za kumsamehe kiungo wa klabu ya Simba sc Yusuph Kagoma ambaye imemfungulia mashtaka katika kamati ya usajili na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kutokana na kusaini mkataba na klabu hiyo kisha kuiacha na kujiunga na klabu ya Simba sc. Yanga sc inadai kwamba ilikubaliana na…

Soma Zaidi
450335961 1005591650944247 5164692449201839922 n

Yusufu Kagoma Atua Simba Sc

Baada ya tetesi kuwa amesaini timu mbili,Hatimaye klabu ya Simba Sc imemtambulisha rasmi kiungo Yussufu Kagoma kama mchezaji mpya wa timu hiyo ikimsajili kutoka Singida Fountain Gate Fc ambapo sasa atakua mchezaji wa 12 kutambulishwa na timu hiyo. Simba sc imetambulisha Kagoma baada ya kumsainisha mkataba mpya wa miaka miwili kujiunga na kikosi hicho ili…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks