Screenshot 20250506 111532 Instagram

Kmc Vs Simba Sc Yarudishwa Dar

Mchezo wa ligi kuu ya Nbc Kati ya klabu ya KMC Fc dhidi ya Simba Sc Umebadilishwa na sasa Utachezwa katika uwanja wa Kmc Complex jijini Dar Es Salaam Mei 11 ambayo ni siku ya Jumapili, saa kumi jioni. Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora ambapo Kmc kama…

Soma Zaidi
Screenshot 20241114 183646 Instagram

Kali Ongara Atua Kmc

Klabu ya Kmc imekamilisha usajili wa Kocha wa zamani wa klabu ya Azam Fc Kally Ongara akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Kocha Abdulhamid Moalin ambaye amejiuru siku chache zilizopita. Kally ametambulishwa rasmi mbele ya waandishi wa habari mapema hii leo ambapo atakua na jukumu la kuhakikisha anairudishia Kmc makali yake katika ligi kuu ya Nbc…

Soma Zaidi
Screenshot 20241112 212353 Instagram

Moalin Aondoka Kmc

Kocha wa klabu ya Kmc Abduhamid Moalin amevunja mkataba wa nafasi ya ukocha mkuu wa klabu hiyo kutokana na klabu kushindwa kutekeleza baadhi ya makubaliano ya kimkataba baina ya pande hizo. Moalin aliyejiunga na Kmc msimu uliopita baada ya kuondoka Azam fc amewasilisha barua ya kuvunja mkataba kwa mabosi wa Kmc siku chache zilizopita ambapo…

Soma Zaidi
Screenshot 20241105 230333 Facebook

Kagoma,Hamza Kuwakosa Kmc

Kocha wa klabu ya Simba Sc Fadlu Davis amesema kuwa mastaa Yusuph Kagoma na Abdulrazak Hamza wanatarajiwa kuukosa mchezo wa kesho wa ligi kuu ya Nbc nchini dhidi ya Klabu ya Kmc kutokana na kuwa na majeraha. Fadlu amesema hayo mapema hii leo ikiwa ni katika mkutano na waandishi wa habari kama ilivyo utaratibu wa…

Soma Zaidi
Screenshot 20240911 212942 Instagram

Guede Kuwakosa Kmc

Mshambuliaji wa klabu ya Singida Black Stars Joseph Guede anatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi kuu ya Nbc baina ya timu hiyo na Kmc utakaofanyika Septemba 12 katika uwanja wa Ccm Liti mjini Singida. Guede ataungana na mastaa kama Jimson Mwinuke ambaye naye ana majeraha huku mastaa wengine kama Mohammed Camara na Maurouf Tchakei nao wataikosa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks