Ushirikina Wamponza Kyombo
Mshambuliaji wa Singida BS, Habibu Kyombo ametozwa faini ya Tsh milioni moja kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina katika mchezo kati ya Singida Fontaine Gate FC dhidi ya Namungo FC. Kyombo alionekana akimwaga kimiminika katika goli la klabu ya Namungo katika mchezo huo uliopigwa katika dimba la Majaliwa, Ruangwa na kumalizika kwa…
