Yanga Sc Yamponza Mwamuzi Ligi Kuu
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imeendelea kuonesha msimamo mkali katika kusimamia sheria na nidhamu ya mchezo, baada ya kutoa maamuzi mazito dhidi ya Mwamuzi wa kati Ahmada Simba kutoka Kagera pamoja na Mchezaji wa Mbeya City FC, Vitalis Mayanga. Hatua hizi zinakuja kufuatia matukio yaliyotokea katika michezo tofauti ya…
