Screenshot 20241219 113428 Instagram

Chama,Diarra Kuwakosa Mashujaa Fc

Klabu ya Yanga sc ikielekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mashujaa Fc imetangaza kuwakosa mastaa wake Djigui Diarra sambamba na Cletous Chama kutokana na kusumbuliwa na majeraha waliyoyapata katika mchezo uliopita dhidi ya Tp Mazembe. Mchezo utakaofanyika leo katika uwanja wa Kmc Complex Jijini Dar es Salaam ambapo Yanga sc inapaswa kushinda ili kurejesha…

Soma Zaidi
Screenshot 20241102 185752 Instagram

Mukwala aiokoa Simba sc

Mshambuliaji wa klabu ya Simba Sc Steven Mukwala ameisaidia klabu yake ya Simba Sc kuibuka na ushindi wa 1-0 katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini dhidi ya Klabu ya Mashujaa Fc mkoani Kigoma. Mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani humo ilishuhudiwa Simba sc ikipata bao hilo dakika ya 90+7″ ya…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 458468120 8562008887185139 2514712878345269732 n 1080

Morrison Aungana na Mashujaa Fc

Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Simba sc na Yanga sc Benard Morrison amejiunga na klabu ya mashujaa Fc ambayo ipo jijini Dar es salaam kwa mazoezi ya gym akijiweka fiti baada ya kupona majeraha yake yaliyomfanya akae nje kwa takribani miezi sita akiugulia. Mchezaji huyo mwenye vituko alijiunga na klabu ya Far Rabat iliyokua…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 451103823 295580783576789 4339827850879419762 n 1080

Mashujaa Fc Yavuta Wawili Kigoma

Klabu ya Mashujaa Fc imekamilisha usajili wa wachezaji wawili beki wa kati Carlos Protas akitokea Biashara United ya mkoani Mara sambamba na aliekua mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba Sc Mohamed Mussa ambapo tayari wameshatambulishwa rasmi. Mashujaa Fc yenye makazi yake mkoani Kigoma inaboresha kikosi chake baada ya kuondokewa na mastaa kadhaa ambapo Musa…

Soma Zaidi
436166768 18427146700052678 8876428561091331737 n

Mashujaa Fc Yaikomalia Azam Chamazi

Kikosi cha timu ya Mashujaa Fc kimefanikiwa kuchukua alama moja katika mchezo uliomalizika kwa 0-0 dhidi ya Azam Fc katika uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar es salaam baada ya kuzui kwa dakika zote 90 za mchezo huo. Mashujaa Fc inayonolewa na Kocha Mohamed Barresi iliingia kwa heshima kubwa katika mchezo huo ikikaa nyuma ya…

Soma Zaidi
422062045 18398856022071034 3067239756532101548 n

Simba Sc Yaizimisha Mashujaa Fc

Klabu ya Simba sc imefanikiwa kuibuka na ushindi wa alama tatu baada ya kuifunga Mashujaa Fc kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma ambapo ilishuhudiwa wingi wa mashabiki wa klabu hiyo wakifurika uwanjani hapo. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 16 na Saido Ntibanzokiza kwa penati iliyotokana…

Soma Zaidi
424888703 18398371489071034 3835268274756998706 n

Simba Sc Waifuata Mashujaa Kigoma

Kikosi cha timu ya Simba sc kimewasili mkoani Kigoma kuivaa Mashujaa Fc katika mchezo wa ligi kuu nchini utakaofanyika katika uwanja wa Lake Tanganyika siku ya Jumamosi saa kumi jioni. Msafara wa kikosi hicho ambacho jana kilifanikiwa kufuzu hatua ya 32 bora ya michuano ya kombe la shirikisho nchini uliwasili katika uwanja wa ndege jijini…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 377948166 330827196067945 2659966424454931149 n 1080

Mashujaa Chali kwa Jkt Tanzania

Pamoja na tambo nyingi sasa Mashujaa Fc ya mkoani Kigoma imekubali kipigo cha 1-0 kutoka kwa Jkt Tanzania katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja wa Ccm Kambarage mkoani Shinyanga mapema jioni ya leo Oktoba 3. Bao pekee la mchezo huo limefunga na Edward Songo dakika ya 80 ya mchezo huo uliokua mkali ambapo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks