Screenshot 20241016 105123 Instagram

Medo Mbioni Kutua Kagera Sugar

Uongozi wa Klabu ya Kagera Sugar Umefungua mazungumzo na Kocha wa sasa wa klabu ya Mtibwa Sugar raia wa Marekani Mellis Medo ili kujiunga na klabu hiyo kuchukua nafasi ya kocha Paul Nkata. Kwasasa kikosi cha Kagera Sugar kipo chini ya kaimu Kocha Bube na hii ni baada ya kufutwa kazi kwa Aliyekuwa Kocha wao…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks