Snapinsta.app 418369024 1440219183196315 7176692263286068402 n 1080

Mlandege Yatinga Fainali Mapinduzi Cup

Mlandege FC imefuzu hatua ya fainali Mapinduzi Cup 2024 baada ya kuitoa APR ya Rwanda kwa penalti 4-2 kwenye mechi ya nusu fainali iliyoisha dakika 90 bila kufungana (0-0) na wenyeji kufanikiwa kushinda kwa penati. Kipa wa Mlandege Fc Othmani Hassan aliibuka shujaa kwa klabu yake baada ya kufanikiwa kudaka michomo miwili ya penati ikiwemo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks