pacome

Pacome Aitwa Ivory Coast

Kiungo wa Klabu ya Yanga Sc Pacome ZouZou ameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Ivory Coast kuchukua nafasi ya Ibrahim Sangare, anayeitumikia Klabu ya Nottingham Forest ya Uingereza baada ya mchezaji huyo kupata majeraha siku chache kabla ya kuripoti kambini. Taarifa iliyotolewa na shirikisho la soka nchini Ivory Coast imeonyesha kuwa mastaa watatu…

Soma Zaidi
407834194 912161166936482 8660971059517501969 n

Pacome Atia Fora Caf

Bao la kusawazisha alilolifunga kiungo wa Yanga Sc Pacome Zouzoua katika mchezo dhidi ya Al Ahly limechaguliwa kuwa bao bora la wiki katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayoendelea barani Afrika. Pacome alifunga bao hilo akipokea pasi ya Kennedy Musonda na kuifanya klabu yake ya Yanga sc kupata alama moja katika mchezo huo uliokua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks