Pamba Jiji Fc
Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited
Pamba Jiji Fc
Yanga SC
Pamba Jiji Fc
Azam Fc Yatua Kwa Yona Amos
Sasa ni rasmi klabu ya soka ya Kagera Sugar Fc imeshuka daraja mpaka ligi daraja la kwanza kwa msimu ujao baada ya klabu ya Kengold Fc kukubali kipigo cha mabao …
Msafara wa klabu ya Pamba jiji Fc umepata ajali maeneo ya Bahi mkoani Dodoma ukiwa njiani kutokea Bukoba mkoani Kagera kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya mchezo wa kombe la …
Haishikiki na wala haikamatiki,Ndio unavyoweza kusema kutokana na mfululizo wa ushindi inaopata klabu ya Yanga sc katika michuano ya ligi kuu ya Nbc nchini baada ya kuibamiza Pamba Jiji Fc …
Klabu ya Pamba Jiji Fc imekabidhiwa fedha taslimu shilingi milioni 10 kutoka kwa uongozi wa klabu hiyo ikiwa ni hamasa kuelekea mchezo wa kesho ijumaa dhidi ya Yanga sc. Zawadi …
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Yanga sc Deus Kaseke ameisaidia klabu yake ya Pamba Jiji Fc kuibuka na alama tatu muhimu katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini …
Beki wa klabu ya Simba Sc Che Malone Fondoh pamoja na mshambuliaji wa klabu hiyo Lionel Ateba wameizawadia klabu ya Pamba Jiji Fc beki Cherif Ibrahim aliyejiunga na klabu hiyo …
Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited