Snapinsta.app 409386038 1039820237268891 2852703665224158759 n 1080

Singida FG Waanza Usajili

Klabu ya Singida Fountain Gates imekamikisha Usajili wa Mlinzi wa kushoto raia wa Botswana Benson Kitso Mangolo kuja kuongeza nguvu katika eneo hilo ambalo mpaka sasa anacheza Gadiel Michael na Yahaya Mbegu kikosini humo. Benson ambaye amewahi kuwa mchezaji bora wa mwaka nchini Botswana, kabla ya kukamisha usajili wake na matajiri wa Alizeti wenye makazi…

Soma Zaidi
singidabsfc 297089598 5669013703161136 7711000586999483138 n 780x470 1

Wawa Aiponza Singida FG

Klabu ya soka ya Singida Fountain Gate Fc  imefungiwa kusajili mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wake Pascal Serge Wawa ambaye ilimtema mwanzoni mwa msimu huu bila kufuata utaratibu na kusababisha mchezaji huyo kushtaki Fifa. Uamuzi huo umefanywa na Shirikkisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) baada ya Wawa kushinda kesi ya madai aliyoifungua dhidi ya…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 370040403 336888252358789 6575153923027457157 n 1080

Ushirikina Wamponza Kyombo

Mshambuliaji wa Singida BS, Habibu Kyombo ametozwa faini ya Tsh milioni moja kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina katika mchezo kati ya Singida Fontaine Gate FC dhidi ya Namungo FC. Kyombo alionekana akimwaga kimiminika katika goli la klabu ya Namungo katika mchezo huo uliopigwa katika dimba la Majaliwa, Ruangwa na kumalizika kwa…

Soma Zaidi
kazadi

Kazadi Matatani Singida Fg

Staa wa klabu ya Singida Fountain Gate FrancyKazadi amekalia kuti kavu klabuni humo kutokana na kiwango chake kushindwa kuwashawishi mabosi wa klabu hiyo tangu msimu huu uanze ambapo amekosa namba mbele ya Elvis Rupia. Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema wapo mastaa ambao wanafanyiwa tathimini kuanzia sasa na kama benchi la ufundi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks