Snapinsta.app 427684695 891824955761139 394503422114593474 n 1080

Ihefu Fc Yabadili Jina

Uongozi wa klabu ya  Ihefu FC ambao siku za karibuni umeyahamisha makazi ya klabu hiyo kutoka Mbarali Mbeya na kwenda mkoani Singida, na hivyo kufanya mabadiliko ya jina la timu na sasa kutambulika kama Singida Black Stars Sports Club. Katika taarifa iliyotolewa na klabu hiyo kwenda kwa umma  imesema kwamba  lengo la kubadilisha jina la…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 432516430 428136159879452 5222619070204868406 n 1080

Julio Atambulishwa Rasmi Singida Fg

Kocha Jamhuri Kihwelu ametambulishwa kama kocha mkuu wa klabu ya Singida Fountain Gate Fc akichukua nafasi ya kocha Thabo Senong ambaye alitimuliwa kufuatia matokeo mabaya ya timu hiyo katika siku za karibuni hasa tangu ligi irejee baada ya mapumziko ya kupisha michuano ya Afcon. Julio atasaidiwa na kocha Ngawina Ngawina ambaye alisimama kama kocha mkuu…

Soma Zaidi
431475862 18408728215071034 687510198280893980 n

Simba sc Yainyuka Singida Fg

Klabu ya Simba sc imefanikiwa kuibuka na alama tatu muhimu katika mchezo dhidi ya Singida Fountain Gate uliofanyika katika uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam baada ya kuifunga tiimu hiyo mabao 3-1 na kuendelea kuipambania nafasi ya kuchukua ubingwa wa kombe la ligi kuu nchini. Iliwachukua Simba sc dakika nane pekee kupata mabao mawili…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 404609942 885481579911197 5651754781033310547 n 1080

Gadiel Atua South Afrika

Mchezaji na nahodha wa klabu ya Singida Fountain Gate Fc Gadiel Michael amejiunga na timu ya Cape Town Spurs Fc kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya timu hizo kufika makubaliano ya kufanya biashara ya mchezaji huyo. Gadiel mchezaji wa zamani wa Azam Fc,Yanga sc na kisha Simba sc anaondoka nchini mchana wa leo kwenda…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 417712350 1918336378673232 156371883455125321 n 1080

Azam Fc “Out” Mapinduzi Cup

Klabu ya Azam Fc imetolewa nje ya michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Singida Fountain Gate katika mchezo wa michuano hiyo uliofanyika katika uwanja wa Amani visiwani humo. Azam Fc ilianza na kikosi kikali kikiwa na mastaa wake wakiongozwa na Yannick Bangala,Paschal Msindo,Daniel Amoah,James Akaminko,Kipre Junior na…

Soma Zaidi
Manu Labola Bota

Winga DRC Atua Singida FG

Winga wa klabu ya Fc Lupopo Manu Labota Bola ameamua kujiunga na Singida Fountain Gate Fc na kuikacha ofa ya Yanga sc na tayari dili hilo limeshakamilika ukisubiriwa utambulisho tu klabuni hapo. Awali Yanga sc ndio ilikua ya kwanza kuonyesha nia ya kumsajili winga huyo lakini ilianza kusuasua kukamilisha usajili huo ndipo mabosi wa Singida…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 408163003 18207880882276348 8949866301890432886 n 1080

Singida FG Yahamia Karatu

Klabu ya Singida Fountain Gate itautumia uwanja wa Black Rhino Academy uliopo karate,Arusha kwa ajili ya michezo yake ya nyumbani baada ya kufungiwa kwa uwanja wake wa nyumbani wa  Liti ulioko mkoani Singida. Uwanja huo ni miongoni mwa viwanja vyenye nyasi asilia ambavyo ni bora hapa nchini huku eneo lake la kuchezea likiwa na ubora…

Soma Zaidi
SG

Mbrazil Atua Singida FG

Klabu ya Singida Big Stars imemtambulisha rasmi kocha wao mpya Ricardo Ferreira kutoka nchini Brazil ambaye anakuja kuchukua nafasi ya kocha Enrst Middendorp ambaye aliamua kujiuzuru ghafla kuifundisha timu hiyo. Kocha Ricardo ana rekodi ya kufundisha vilabu vikubwa barani Afrika kwa mafanikio vikiwemo Al Hilal, Al Merrikh SC na Ismaily SC hivyo anatarajiwa kutoa upinzani…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks