stars

Stars Kambini Kuivaa Sudan

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania(Taifa Stars) kimeingia kambini kwa ajili ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Sudan unaotarajiwa kufanyika siku ya Oktoba 18 ambapo mchezo huo utafanyika nchini Saudin Arabia. Licha ya kikosi hicho kutowekwa hadharani lakini picha za mitandao zimewaonyesha mastaa kama Dickson Job,Nickson Kibabage,Bakari Mwamnyeto,Ibrahim Hamad,Metacha Mnata na Clement…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks