Home Makala Simba,Azam Hapatoshi Shirikisho

Simba,Azam Hapatoshi Shirikisho

by Sports Leo
0 comments

Droo ya kombe la shirikisho la Azam imewakutanisha wababe wa soka la Tanzania Simba na Azam katika hatua ya robo fainali huku mshindi kati yao atakutana na mshindi kati ya Yanga sc dhidi Kagera Sugar.

Droo hiyo iliyofanyika leo ikijumuisha timu za za Simba sc,Yanga sc,Azam Fc,Namungo pamoja na Kagera Sugar,Alliance fc,Sahare Stars na Ndanda fc ambapo Namungo watawakaribisha Alliance huku Sahare All Stars wakiwa wenyeji wa ndanda na Yanga watawavaa Kagera Sugar jijini Dar es salaam.

Mechi hizo zinatarajiwa kuchezwa mwezi juni na mshindi kati ya Namungo na Alliance atakutana na mshindi kati ya Sahare na Ndanda.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited