Kagoma Aachwa Msafara Kuivaa Fc Constantine

Screenshot 20241204 093836 Instagram

Klabu ya Simba Sc imesafiri kuelekea nchini Algeria kuvaana na klabu ya Fc Constantine ya nchini humo katika mchezo wa hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo mastaa 22 wamesafiri.

Katika orodha iliyotolewa na klabu hiyo jina la kiungo Yusuph Kagoma halimo ambapo ameachwa kutokana na kusumbuliwa na majeraha.
Screenshot 20241204 093621 Instagram

Leave a Reply

Enable Notifications OK No thanks