Home Makala Mwamnyeto Amwaga Wino Yanga

Mwamnyeto Amwaga Wino Yanga

by Sports Leo
0 comments

Beki wa Coastal Union,Bakari Mwamnyeto amesaini dili la miaka miwili kuitumikia klabu ya Yanga siku ya leo Agosti Mosi.

Akiwa Coastal Union Mwamnyeto amekuwa ni nahodha ambaye ameongoza kikosi chake kumaliza ndani ya 10 bora akiwa amefunga bao moja.

Coastal Union Kwenye msimamowa ligi kuu ipo nafasi ya 7 baada ya kucheza mechi 38 imefungwa mabao 30 huku ikifunga jumla ya mabao 33.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited