Home Makala Simba Yaweka Rekodi Fainali FA

Simba Yaweka Rekodi Fainali FA

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Simba SC wametwaa ubingwa wa ASFC baada ya kuifunga Namungo FC mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa leo Agosti 2,uwanja wa Nelson Mandela mkoani Sumbawanga.

Kombe hili kwa Simba linakuwa la tatu kwenye msimu wa 2019/2020, awali wamechukua Ngao ya Jamii na Ligi kuu Tanzania Bara(VPL).

Luis Miqussone ametangulia kutupia bao la kwanza kwenye nyavu za Namungo Fc dakika ya 27 akifuatiwa na John Bocco Dakika 38,huku bao la kufutia machozi kwa upande wa Namungo Fc likifungwa dakika ya 56 na Manyama.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited