Home Makala Yanga Yakomaa Na Morrison

Yanga Yakomaa Na Morrison

by Sports Leo
0 comments

Yanga Sc wamekanusha taarifa za mtandaoni zilizoenea kuwa wamelifuta jina la mchezaji wao wa 28,Benard Morrison kwenye orodha ya wachezaji wa msimu wa 2020/2021.

TFF iliamua kesi hiyo kwa kuliondoa jina la Morrison kwenye orodha ya wachezaji wa Yanga Sc na kulibakisha Simba Sc jambo ambalo limewafanya Yanga kutoridhika na maamuzi yao na kwenda mbele zaidi (FIFA) ili kusaka haki kwa ajili ya mchezaji huyo wanayedai kuwa bado ni mali yao.

Kaimu katibu mkuu wa Yanga Sc,Simon Patrick amesema kuwa wameshamuwekea pingamizi Morrison ambaye anaonekana kwenye orodha ya wachezaji wa Simba sc wakati bado ni mchezaji wao na yupo katika orodha ya kikosi cha msimu wa 2020/2021 .

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited