Home Soka Kocha Namungo Kutua Yanga sc

Kocha Namungo Kutua Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Inaelezwa kuwa klabu ya Yanga sc imemalizana na kocha wa klabu ya Namungo Hitimana Thierry kwenda kuwa msaidizi wa kocha Luc Eymael klabuni hapo.

Hitimana ambaye alishafanya kazi na Luc katika klabu ya Rayon Fc nchini Rwanda ambapo inadaiwa kocha huyo tayari amekubali dili hilo kutua mitaa ya Twiga na Jangwani mjini Kariakoo.

Luc amedai kutowahitaji wasaidizi wake kadhaa akiwamo Bonifasi Mkwasa pamoja na Peter Manyika katika benchi la ufundi klabuni hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited