Home Soka Mo Atikisa Tena Afrika

Mo Atikisa Tena Afrika

by Sports Leo
0 comments

Mfanya biashara Mohammed Dewji maarufu ksma Mo,ametajwa tena na Ripoti mpya ya jarida la Forbes kuwa ni mfanya biashara Tajiri mdogo kuliko wote Afrika kwa mwaka wa sita mfululizo akikadiriwa kuwa na utajiri wa dola za kimarekani Bilion 1.6 (Trilion 3.69 za kitanzania).

Tajiri huyo ambaye anaimiliki mali mbalimbali ikiwemo klabu ya Simba sc inatajwa chanzo cha utajiri wake ni biashara mbalimbali kupitia viwanda vyake vilivyojikita katika uzalishaji huku pia akichuma pesa kupitia biashara,bima,kilimo na fedha.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited