Home Soka Morrison Gumzo Kila Kona

Morrison Gumzo Kila Kona

by Sports Leo
0 comments

Staa mpya wa klabu ya Yanga Benard Morrison ameendelea kuwa gumzo nchini kufuatia kiwango cha hatari anachozidi kuonyesha staa huyo raia wa ghana kuanzia mazoezini mpaka kwenye mechi.

Staa huyo aliyechezea klabu za As Vita,Dc Motema Pembe na Orlando Pirates alianza kuonyesha cheche kwenye mechi dhidi ya Singida united ambapo alifanikiwa kutoa asisti mbili na kisha kufunga na kutoa pasi ya goli la pili kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya Prisons.

Licha ya kutoa mchango mkubwa katika timu hiyo staa huyo amerejesha furaha jangwana baada ya kuw kivutio kutokana na kutoa shoo ya kuchezea mpira huku akitoa pasi na kuganda kwa mbwembwe na kuwaacha mashabiki wa klabu hiyo wakitamba.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited