Home Soka Mwakalebela Akomali Kesi Ya Morrison,Kabwili

Mwakalebela Akomali Kesi Ya Morrison,Kabwili

by Sports Leo
0 comments

Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga sc Frederick Mwakalebela ameliibua tena upya suala la kesi ya winga Benard Morrison baada ya kuwa na ukimya wa muda mrefu kwa Shirikisho la soka nchini(Tff) kuamua kuhusu kesi hiyo.

Mwakalebela ameliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuzifanyia kazi kesi zao walizo ziwasilisha ambazo ni ile ya Ramadhani Kabwili, pamoja na mkataba wa Bernard Morrison kwa kuwa wanaelekea katika dirisha dogo la usajili.

Mwakalebela ameongeza kuwa kama suala la Morrison ambalo limefikishwa Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo ya FIFA (CAS) kama lisipofanyiwa kazi mpaka dirisha la usajili likafunguliwa huenda mkataba ukabadilishwa kwa kuwa muda utapatikana dirisha likiwa wazi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited