Home Soka Yanga,La liga Kimeeleweka

Yanga,La liga Kimeeleweka

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga itasaini mkataba rasmi wa ushirikiano baina yake na wasimamizi wa ligi kuu ya Hispania(La liga) ambapo mkataba huo utakua wa ushirikiano katika maeneo mbalimbali ikiwemo namna ya uendeshaji wa klabu kwa njia za kisasa.

Mkataba huo utasainiwa siku ya jumamosi juni 30 katika hoteli ya kifahari ya Serena jijini Dar es salaam na utarushwa moja kwa moja na mitandao ya kijamii ya klabu hiyo pamoja na Azam Tv.

Yanga inatarajiwa kuwa mfaidikaji mkuu wa mkataba huo kwa kuwa ipo katika hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa mabadiliko klabuni hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited