Pyramids FC yakataa kumuuza Mayele: Hatima ya Fiston Mayele yazidi kuzua gumzo dirisha la usajili
Klabu ya Pyramids FC ya Misri imeendelea kusimama kidete katika msimamo wake wa kumhifadhi mshambuliaji wao tegemeo, Fiston Mayele, licha ya kuendelea kuwepo kwa uvumi mzito wa usajili unaomhusisha na vilabu mbalimbali barani Afrika na Mashariki ya Kati. Katika dirisha la usajili ambalo limejaa presha na minong’ono, kauli ya klabu hiyo imekuwa wazi kuwa Pyramids…
