Bounou Aibuka Shujaa Morocco Ikitinga Fainali Baada ya Miaka 22 Afcon
Katika usiku wa kusisimua ambao uliandikwa kwa mstari wa chuma kwenye historia ya soka la Afrika, Morocco imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) mara ya kwanza tangu mwaka 2004, baada ya kuibuka na ushindi wa 4–2 kupitia mikwaju ya penalti dhidi ya Nigeria baada ya sare ya 0-0 katika dakika…
