AFCON2025 Je unasemaje kuhusu ‘perfomance ya Mo Salah kwenye game hii….FT Misri 2 1 Zimbab 2

Zimbabwe Yakubali Kipigo Jioniii

Kazi imeanza rasmi! Ndio, pazia la Kundi B la michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) lilianza kwa vishindo Jumatatu iliyopita, pale Mashetani Wekundu wa Misri walipolazimika kutumia akili ya ziada kuwachapa wapinzani wao shupavu, Zimbabwe, kwa ushindi mwembamba wa 2-1 katika Mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Stade Adrar, Agadir, Mchezo huo ulikuwa ni…

Soma Zaidi
452519666 1049574503195147 15797334985212828 n

Dube Aitwa Timu ya Taifa Zimbabwe

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Prince Mpumelelo Dube ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Zimbabwe ijayojiandaa na michezo ya kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika mwaka 2025 dhidi ya Kenya na Cameroon. Kocha Michael Nees amemjumuisha Dube katika kikosi hicho baada ya staa huyo kuonyesha kiwango bora sana tangu ajiunge na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks