Home Makala Tff Kuitisha Kikao Cha Dharura Kesho

Tff Kuitisha Kikao Cha Dharura Kesho

by Sports Leo
0 comments

Raisi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia  ameelekeza Kamati ya Uongozi ya Bodi ya Ligi Kuu kuitisha kikao cha dharura kesho Machi 18,2020.

Kikao hicho kinatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar-es-salaam majira ya saa 3:00 asubuhi.

Ajenda kubwa kwenye mkutano huo ni kujadili mustakabali wa Ligi Kuu Bara kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona ambao umeingia nchini mnamo tarehe 15,march 2020 kupitia mwanamama aliyewasili jijini Arusha kupitia uwanja wa KIA akitokea Ubelgiji.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited